Mabondia,makocha pamoja na viongozi wa mchezo wa ngumi nchini wakiangalia DVD zinazotahalishwa na Kocha wa mchezo wa ngumi timu ya Ashanti na Timu ya Mkoa wa Ilala kimichezo, Rajabu Mhamila 'Super D' ayupo pichani ambazo zinafundisha mafunzo ya mchezo huo kabla ya kuondoka kwenda Msumbiji kushirika Mashindano ya 'ALL AFRICA GAME' yatakayoanza mapema wezi ujao timu hiyo ni ya kwanza kwa Tanzania kuondoka . (Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/)..
WATANZANIA WANUFAIKA NA MIRADI YA KIMKAKATI NA UWEKEZAJI
-
Na Mwandishi wetu
MIONGONI mwa jitihada zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya sita chini ya
Rais wa Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan...
4 hours ago
0 Comments