MAMBO YA KULA BATA ZA KAMPUNI YA BIA SERENGETI WIKIILIYOPITA JIJINI ARUSHA& MOSHI

 Mashosti wakiwa kazini katikati ni Mkurugenzi wa Mahusiano Kampuni ya Bia Serengeti Teddy Hollo Mapunda, Kushoto kwake ni Msaidizi wake Nandi Mwiyombela na Blogger wao Khadija Kalili hapa tukiota jua katika hoteli ya Kibo Palace Jijini Arusha, wakati wa mapumziko mafupi ambapo SBLwalitoa Full udhamini wa Mkutano  wa  siku mbili wa Jukwaa la Wahariri.
 Mimi nikiwa katika moja mapozi hotelini hapo, raha jipe mwenyewe atii.
 Da Hawra Shamte mmoja wa wanachama wa Jukwaa la Wahariri akiwa na mmoja wa wahariri.
 Khadija Kushoto na  Mhariri wa  Gazeti la Bingwa Grace Hoka hapa tukipasha kutafuta Majotroo kidogosababu Arusha ni baridi kama mnavyoona kuna kajiko pembeni.

 Muimbaji wa Nyota wa nyimbo za Injili ambaye pia ni mmoja kati ya waasisi wa Kwaya ya Shangilieni ja Jijini Arusha Beatrice Mhone alikuja kutusabahi washirika.
 Hapa ilikuwa ni jioni ambapo tukawa tukibadilishana mawazo ya hapa na pale kutoka kulia ni  Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Harieth Makweta,Beatrice na Mkariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Absalom  Kibanda. 
 Kumbe  Teddy anakipaji cha kuimba hapa akiwaburudisha Wahariri katika Hoteli ya Kibo Palace.
Mwenyekiti wa Chama Cha Netiboli nchini  (CHANETA),Anna Bayi akiwa katika picha na Teddy Hollo da.

Post a Comment

0 Comments