Social Icons

Wednesday, May 4, 2011

MAMBO YA MTAANI ,MTI UMEANGUA HAKUNA WA KUONDOA





Wadau leo asubuhi wakati nikiwa katika usafiri nikija ofisini , nikapata lifti na kukatiza mtaani ambako wakati tukikwepa foleni ndiyo tukaingia katika Mtaa huu Kinondoni Dar es Salaam na kukuta mti ukiwa umeanguka siku ya 3 leo kilichofanyika ni kusogezwa tu ili gari ziweze kupita, hakuna anayejishughulisha kuuondoa serikali za mtaa zikiwa jirani, hapa ukipandisha juu unakutana na Bar moja maarufu ya Katumba.

No comments:

 
 
Blogger Templates