Uzinduzi huo umefanyika katika hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano Kilimanjaro Kempinski Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali mashuhuri nchini wakiwemo wabunge na watu wa kada mbalimbaliMwanamitindo Flaviana Matata ambaye hivi sasa anafanya kazi zake nchini Marekani amesedma mfuko huo utakuwa na kazikusaidia watoto wasiokuwa na wazazi yatima pia Taasisi hiyo itafanya kazi na watu mbalimbali nchini ambao wamekuwa wakisaidia jamii yenye matatizo mbalimbali bila kuwasahau watoto wa kike
TANZANIA YAANDAA MKUTANO WA KANDA KUIMARISHA UMOJA NA MAFANIKIO KATIKA
HUDUMA ZA MAGONJWA YA DAMU
-
• Tanzania wiki hii iliandaa mkutano wa kiafya wa kikanda uliolenga
kuunganisha nchi za Afrika Mashariki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa
hemophilia ...
33 minutes ago
0 Comments