Uzinduzi huo umefanyika katika hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano Kilimanjaro Kempinski Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali mashuhuri nchini wakiwemo wabunge na watu wa kada mbalimbaliMwanamitindo Flaviana Matata ambaye hivi sasa anafanya kazi zake nchini Marekani amesedma mfuko huo utakuwa na kazikusaidia watoto wasiokuwa na wazazi yatima pia Taasisi hiyo itafanya kazi na watu mbalimbali nchini ambao wamekuwa wakisaidia jamii yenye matatizo mbalimbali bila kuwasahau watoto wa kike
TANZANIA: 5 Days of Raw Wilderness & Refined Luxury
-
*5 Days of Raw Wilderness & Refined Luxury*
THE ULTIMATE ITINERARY
*DAY 1 | THE ELEPHANT EMPIRE* *Arusha → Tarangire National Park* Witness
massive ...
1 hour ago
0 Comments