Uzinduzi huo umefanyika katika hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano Kilimanjaro Kempinski Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali mashuhuri nchini wakiwemo wabunge na watu wa kada mbalimbaliMwanamitindo Flaviana Matata ambaye hivi sasa anafanya kazi zake nchini Marekani amesedma mfuko huo utakuwa na kazikusaidia watoto wasiokuwa na wazazi yatima pia Taasisi hiyo itafanya kazi na watu mbalimbali nchini ambao wamekuwa wakisaidia jamii yenye matatizo mbalimbali bila kuwasahau watoto wa kike
Maonesho ya Mvinyo wa Afrika Kusini Yaangazia Ukuaji wa Sekta ya Utalii
Tanzania
-
DAR ES SALAAM
WADAU wa sekta ya ukarimu na utalii wameeleza umuhimu unaoongezeka wa
vyakula, mvinyo na uzoefu wa kiutamaduni katika kuimarisha nafasi y...
5 hours ago
0 Comments