Uzinduzi huo umefanyika katika hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano Kilimanjaro Kempinski Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali mashuhuri nchini wakiwemo wabunge na watu wa kada mbalimbaliMwanamitindo Flaviana Matata ambaye hivi sasa anafanya kazi zake nchini Marekani amesedma mfuko huo utakuwa na kazikusaidia watoto wasiokuwa na wazazi yatima pia Taasisi hiyo itafanya kazi na watu mbalimbali nchini ambao wamekuwa wakisaidia jamii yenye matatizo mbalimbali bila kuwasahau watoto wa kike
MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050
-
Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji
Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache (Minority Interests
Forum-MIF 2026)...
23 minutes ago
0 Comments