Social Icons

Wednesday, April 27, 2011

RAMSEY NOUAH AMALIZA KAZI YA KANUMBA

Mimi na Steven Kanumba The Great mara baada ya kumalizika kwa hafla hiyo fupi ya kumuaga Ramsey Nouah ambaye alikuja nchini kutokana na mwaliko maalum wa kazi ya kurekodi filamu ya Kanumba inayokwenda kwa jina la The Devil Kingdom itakayozinduliwa kati ya miezi miwili ijayo.Wasanii wengine ambao wataonekana ni Patcho Mwamba, Bi Mwenda na wengineo.


Katikati ni Ramsey Nouah, kushoto kwa Ramsey ni mimi Khadija Kalili na kulia ni Mshauri wa Masuala ya Mawasiliano Paradice City Hotel Angella Gloria Bondo anayefuata ni Salome Milinga mwandishi wa Habari za Michezo gazeti la Mwananchi hapa tukauza nyago kwa raha zetu.




Mimi na Ramsey hapa ilikuwa mchana wa leo mara baada ya hafla fupi ya kumuaga iliyoandaliwa na Hoteli ya Paradise City.Nouah ameahidi makubwa katika filamu ambayo ameshirikishwa na Kampuni ya Kanumba The Great, inayokwenda kwa jina la The Devil Kingdon. Hapa akipokea Business Card yangu.

No comments:

 
 
Blogger Templates