Mimi na Ramsey hapa ilikuwa mchana wa leo mara baada ya hafla fupi ya kumuaga iliyoandaliwa na Hoteli ya Paradise City.Nouah ameahidi makubwa katika filamu ambayo ameshirikishwa na Kampuni ya Kanumba The Great, inayokwenda kwa jina la The Devil Kingdon. Hapa akipokea Business Card yangu.
KAMATI YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA YARIDHISWA NA MRADI WA MAKAZI WA
CANADIAN MASAKI
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma
(PIC), Masanja Kadogosa, leo Machi 24, 2026 ameongoza ziara ya ukaguzi wa
mradi...
16 minutes ago
0 Comments