Mimi na Ramsey hapa ilikuwa mchana wa leo mara baada ya hafla fupi ya kumuaga iliyoandaliwa na Hoteli ya Paradise City.Nouah ameahidi makubwa katika filamu ambayo ameshirikishwa na Kampuni ya Kanumba The Great, inayokwenda kwa jina la The Devil Kingdon. Hapa akipokea Business Card yangu.
TCDC YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA WACHEZAJI
-
*Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC)
Dkt. Benson Ndiege kushirikiana na Uongozi wa TCDC Sports Club wanunua
vifaa...
2 hours ago
0 Comments