Mimi na Ramsey hapa ilikuwa mchana wa leo mara baada ya hafla fupi ya kumuaga iliyoandaliwa na Hoteli ya Paradise City.Nouah ameahidi makubwa katika filamu ambayo ameshirikishwa na Kampuni ya Kanumba The Great, inayokwenda kwa jina la The Devil Kingdon. Hapa akipokea Business Card yangu.
Timu ya Yanga Yatinga Fainali Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 Kwa
Kuifunga Timu ya Azam Bao 1-0, Mchezom Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan
Complex Zanzibar
-
Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku beki wa Timu ya Yanga
akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa nusu fainali ya michuano ya NMB
Mapinduzi Cup ...
3 hours ago
0 Comments