Wadau wa soka hasa timu ya Simba iliyolala 3-1 wameitupia lawama safu ya ulinzi ya timu hiyo kuwa sababu ya kufungwa kwao katika mechi iliyopigwa jana kwenye Uwanja wa stade de la Kenya, Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Mechi hiyo ilikuwa kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya TP Mazembe.Hata hivyo, Simba TP Mazembe watarudia katika mechi itakayopigwa baada ya wiki mbili Jijini Dar es Salaam.
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU DODOMA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akipaka majivu katika Ibada ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika
Kanisa...
34 minutes ago
0 Comments