Wakazi wa Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Mara, Shinyanga na Kagera Jumatatu ijayo ambapo itakuwa siku ya wapendanao watapata raha ya burudani kutoka katika bendi isiyo na mpinzani ya The Kilimanjaro 'Wana Njenje ' ambao watawaduwarisha na kuwakatisha nyonga kama pichani juu katika onyesho lililopangwa kufanyika katika ukumbi Villa Park (Jumatatu 14 February 2011) ,kina Ngosha mkikosa ni kosa kazi kwenuWana wa Njenje haooo.
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa
Jacobs Mwambegele akizungumza leo Februari 22, 2026 na washiriki wa mafunzo
ya ...
The Armored Giant: Tracking the Rare Black Rhino
-
In the vast expanse of the Tanzanian savannah, one silhouette commands a
different kind of respect. The Black Rhino. Seeing one isn't just a
"s...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments