Social Icons

Friday, February 11, 2011

WANAWA NJENJE HAOOO

Wakazi wa Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Mara, Shinyanga na Kagera Jumatatu ijayo ambapo itakuwa siku ya wapendanao watapata raha ya burudani kutoka katika bendi isiyo na mpinzani ya The Kilimanjaro 'Wana Njenje ' ambao watawaduwarisha na kuwakatisha nyonga kama pichani juu katika onyesho lililopangwa kufanyika katika ukumbi Villa Park (Jumatatu 14 February 2011) ,kina Ngosha mkikosa ni kosa kazi kwenuWana wa Njenje haooo.
Habari na Picha kwa hisani ya blogu ya www.Njenje.blogspot.com.

No comments:

 
 
Blogger Templates