Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya hundi ya sh. milioni kumi kwa mshindi wa jumla wa promosheni ya Dunia ya Washindi, Farijala Athumani Iddi mkazi wa Singida, katika makabidhiano yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Miradi wa Huduma za Ziada (VAS) wa Tigo, Suleiman Bushagama.
TANZANIA NA MAREKANI KUIMARISHA MAHUSIANO KWENYE SEKTA YA AFYA
-
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Mei 14, 2026 amekutana na Kaimu
Balozi wa Marekani Nchini Andrew Lentz na kufanya majadiliano kuhusu
Mkataba ...
3 hours ago
0 Comments