Mrembo Anna Daudi na Glory Mwanga walikiwasili jana Uwanja wa Mwalimu JK Nyerere wakitokea Sanya China ambako walikwenda kumpa sapoti Miss Tanzania 2010 Genevieve Emmanuel wengine aliokuwemo katika msafara huo ni pamoja na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania Bw. Hashimu Lundenga, Katibu Mkuu Bosco Majaliwa, na mama wa Miss Tanzania Mary Emmanuel Mpangala.
DC KARATU ATETA NA WATAALAM WA KUCHOMA NYAMA YA NYANI NA WAHUNZI JIOPAKI YA
NGORONGORO LENGAI
-
Na Mwandishi wetu, Eyasi.
Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Karatu, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo
Mhe. Dkt. Lameck Karanga, imekutana na baadhi ya wa...
2 hours ago

0 Comments