Mrembo Anna Daudi na Glory Mwanga walikiwasili jana Uwanja wa Mwalimu JK Nyerere wakitokea Sanya China ambako walikwenda kumpa sapoti Miss Tanzania 2010 Genevieve Emmanuel wengine aliokuwemo katika msafara huo ni pamoja na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania Bw. Hashimu Lundenga, Katibu Mkuu Bosco Majaliwa, na mama wa Miss Tanzania Mary Emmanuel Mpangala.
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
11 hours ago

0 Comments