Natumaini mtakuwa mnawajua vijana wa Mapacha Wa3 ambao ni Khalid Chuma a.k.a Chokoraa, Kalala Hamza a.k.a Kalala Junior wote kutoka bendi ya Twanga Pepeta na Joseph Mponezya a.k.a Jose Mara wa FM Academia hao vijana wanazindua album yao ya kwanza iitwayo "Jasho la Mtu" Album itazinduliwa tarehe 15 Octoba 2010 katika ukumbi wa Travertine - Magomeni kuanzia saa 3 usiku kwa kiingilio cha Tshs. 10,000/- tu. pia watasindikizwa na The African Stars (Twanga Pepeta) Full squad na Mfalme wa Taarab nchini Mzee Yusuf.
TUIBADILISHE HOFU YA WANANCHI KUWA UELEWA – WAZIRI MCHENGERWA
-
Na WAF, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema wahariri wa vyombo vya
habari wana jukumu muhimu la kubadilisha hofu ya wananchi ku...
18 minutes ago
0 Comments