Social Icons

Monday, June 15, 2015

MFANYABIASHARA JUMA RAIBU ATANGAZA NIA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA PASUA MJINI MOSHI.


Umati mkubwa wa wanachi katika kata ya Pasua wakilmsikiliza mfanyabiashara Juma Raibu (hayupo pichani wakati akitangaza nia ya kuwania nafasi ya Udiwani katika kata ya Pasua.

Mfanyabiashara Juma Raibu akifutilia kwa makini wahutibiaji wa awali wakati wa mkutano wa hadhara ambao uliandaliwa kwa ajili ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Udiwani katika kata ya Pasua.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia mkutano huo.
Baadhi ya wananchama wa vyama vya upinzani waliojitokeza kurudisha fomu wakati wa mkutano huo.
Mfanyabiashara Juma Raibu (aliyevalia shati la kijana )akizungumza na watu waliomsindikiza mara baada ya kurejea nyubani kwake mara baada ya kumalizika kwa mkutai wa hadhara ambao aliutumia kutangaza nia ya kugombea nafasi ya udiwani katika kata ya Pasua mjini Moshi.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kskazini.

No comments:

 
 
Blogger Templates