Bendi Maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band" aka FFU,
wanatalajiwa kutumbuiza katika onyesho lingine kubwa la wazi mjini Aschweiler,nchini
Ujerumani siku ya jumamosi 20.08.2011 saa 12.00 jioni.Maporomota wa muziki huko ughaibuni wamehamua kuifanyia kweli bendi hiyo maarufu kwa kuipangia ratiba ya maonyesho bila kupumua !
Ras Makunja na kikosi kazi chake Ngoma Africa band aka FFU wamejikuta wapo katika
kibarua sugu cha kuwapa burudani kamili wapenzi wa muziki katika kila kona huko ughaibuni.
FFU kw sasa wanatamba na nyimbo mbili mpya "Bongo Tambarare " na "Supu ya Mawe"
wasikilize at www.ngoma-africa.com
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
5 hours ago
0 Comments