NEW YORK, MAREKANI
FILAMU mpya ya mwigizaji wa filamu za kibabe, Vin Diesel inayokwenda kwa jina la Fast and Furious sehemu ya 6 imepangwa kuachiwa mwaka 2003.
Filamu hiyo inayozungumzia kuhusu uhalifu wa genge moja la kutengeneza fedha imetengenezwa chini ya mtayarishaji maarufu Justin Lin inatarajiwa kuwa tishio zaidi ya zile zile zilizopita.Katika sehemu ya tano ya filamu iliyopita ilionyesha mafanikio kwa kuuza jumla ya nakala dola milioni 600 duniani kote.
TRAMEPRO Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani, Yasisitiza Uhifadhi kwa
Maendeleo Endelevu
-
*Kila mwaka tarehe 22 Machi, dunia huungana kuadhimisha Siku ya Maji
Duniani—siku muhimu inayotukumbusha thamani ya rasilimali maji katika
maisha ya kila s...
7 hours ago

0 Comments