NEW YORK, MAREKANI
FILAMU mpya ya mwigizaji wa filamu za kibabe, Vin Diesel inayokwenda kwa jina la Fast and Furious sehemu ya 6 imepangwa kuachiwa mwaka 2003.
Filamu hiyo inayozungumzia kuhusu uhalifu wa genge moja la kutengeneza fedha imetengenezwa chini ya mtayarishaji maarufu Justin Lin inatarajiwa kuwa tishio zaidi ya zile zile zilizopita.Katika sehemu ya tano ya filamu iliyopita ilionyesha mafanikio kwa kuuza jumla ya nakala dola milioni 600 duniani kote.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMJULIA HALI MZEE YUSUPH MAKAMBA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Katibu Mkuu Mstaafu wa
Chama Cha Ma...
9 hours ago

0 Comments