NEW YORK, MAREKANI
FILAMU mpya ya mwigizaji wa filamu za kibabe, Vin Diesel inayokwenda kwa jina la Fast and Furious sehemu ya 6 imepangwa kuachiwa mwaka 2003.
Filamu hiyo inayozungumzia kuhusu uhalifu wa genge moja la kutengeneza fedha imetengenezwa chini ya mtayarishaji maarufu Justin Lin inatarajiwa kuwa tishio zaidi ya zile zile zilizopita.Katika sehemu ya tano ya filamu iliyopita ilionyesha mafanikio kwa kuuza jumla ya nakala dola milioni 600 duniani kote.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi Watembelea Wagonjwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Lumumba
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na kumjulia hali yake Bi. Arafa Mohammed Said, akiwa
amelaz...
11 minutes ago
0 Comments