NEW YORK, MAREKANI
FILAMU mpya ya mwigizaji wa filamu za kibabe, Vin Diesel inayokwenda kwa jina la Fast and Furious sehemu ya 6 imepangwa kuachiwa mwaka 2003.
Filamu hiyo inayozungumzia kuhusu uhalifu wa genge moja la kutengeneza fedha imetengenezwa chini ya mtayarishaji maarufu Justin Lin inatarajiwa kuwa tishio zaidi ya zile zile zilizopita.Katika sehemu ya tano ya filamu iliyopita ilionyesha mafanikio kwa kuuza jumla ya nakala dola milioni 600 duniani kote.
WADAU TIBA ASILI,AFYA NA MAZINGIRA WASHAURIWA KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Na Mwandishi Wetu
WADAU wote wa Tiba Asili, Afya na Mazingira nchini Tanzania wameshauriwa
kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali, mashirika na jamii k...
14 hours ago

0 Comments