Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji, kufuatia mwaliko maalum wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Daniel Francisco Chapo. Sherehe hizo zitafanyika kesho katika Uwanja wa Machava, Mjini Maputo.
DOYO AONGOZA KIKAO CHA TATHIMINI YA UCHAGUZI MKUU WA OCTOBA 2025.
-
Na Mwandishi Wetu,TANGA
KATIBU MKUU wa Taifa wa Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo leo January 6 mwaka
huu 2026 ameongoza kikao cha Tathimini ya Uchagu...
2 hours ago




0 Comments