Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji, kufuatia mwaliko maalum wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Daniel Francisco Chapo. Sherehe hizo zitafanyika kesho katika Uwanja wa Machava, Mjini Maputo.
TEKNOLOJIA NA RASILIMALI ZATAJWA KUHITAJI HATUA ZA HARAKA KATIKA SEKTA YA
NISHATI
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SEKTA binafsi imeelezwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha malengo ya
Mpango wa Nne wa Maendeleo (FYDP IV), huku Serik...
21 minutes ago




0 Comments