Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji, kufuatia mwaliko maalum wa Rais wa nchi hiyo, Mhe. Daniel Francisco Chapo. Sherehe hizo zitafanyika kesho katika Uwanja wa Machava, Mjini Maputo.
JUBILEE HEALTH INSURANCE YAPELEKA ELIMU YA AFYA YA AKILI KWA WANAFUNZI
SEKONDARI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUBILEE Health Insurance imetoa elimu kuhusu afya ya akili kwa wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Mzizima jijini Dar es Salaam len...
1 hour ago




0 Comments