Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki Ufunguzi wa Mkutano wa pili wa Brazil na Afrika kuhusu Usalama wa Chakula, Mapambano dhidi ya njaa na maendeleo vijijini unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Brazil (Itamaraty Palace) Jijini Brasilia leo tarehe 22 Mei 2025.
VYAMA 12 VYAPONGEZA RIPOTI YA TUME YA UCHUNGUZI YA MATUKIO YA OKTOBA 29
-
Vyama 12 Vimepongeza ripoti ya tume ya kuchunguza matukio ya tarehe 29 na
baada ya uchaguzi iliyowasilishwa na Jaji Chande.
Katika mkutano huo Mhe Doyo ali...
2 hours ago




0 Comments