Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 3 Machi, 2025.
Watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025.
TEA YASHIRIKI SIKU MAALUM YA WATAALAMU WA UHASIBU
-
Wadau mbalimbali wakipata Elimu katika banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania
(TEA) wakati wa maonesho kwenye siku maalum ya Wataalamu wa Uhasibu (NBAA
Career...
2 hours ago






0 Comments