Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 3 Machi, 2025.
Watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025.
WATUMISHI WA UMMA WASISITIZWA NIDHAMU NA UADILIFU KATIKA KAZI
-
*Watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wakiwa katika picha ya
pamoja mara baada ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani
‘Mei ...
6 hours ago






0 Comments