Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru amepokelewa Rasmi kwa kukagua gwaride la heshma katika ofisi za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro eneo la Njia Panda Karatu baada ya Kivishwa Cheo na kuapishwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) kuwa kamishna wa Uhifadhi hivi Karibuni.
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru akizungumza na Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka hiyo baada ya kupokelewa na kukagua gwaride la heshma katika ofisi za Mamlaka hiyo Karatu Arusha ikiwa ni siku chache tangu Kivishwa Cheo na kuapishwa kuwa kamishna wa Uhifadhi hivi Karibuni.
RAS PWANI ATOA RAI BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI AJENDA ZENYE TIJA KWA
WANANCHI
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Katibu
Tawala wa Mkoa huo, Pili Mnyema, amewataka wajumbe wa baraza hilo kujadili
ajen...
4 hours ago




.jpg)
0 Comments