Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipata maelezo kuhusu shughuli za Uhifadhi, vivutio vya utalii mubashara kutoka eneo la hifadhi ya Ngorongoro na fursa za uwekezaji zilizopo hifadhi ya Ngorongoro kutoka kwa Meneja wa Huduma za Utalii na Masoko NCAA Mariam Kobelo (kushoto) wakati wa Ufunguzi wa Onesho la Kimataifa la Swahili International Tourism EXPO (SITE) linalofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam
Mamlaka ya Hifadhi ya Hifadhi ya Ngorongoro ni moja kati ya Taasisi za Wizara ya Maliasili na Utalii zinazoshiriki onesho hilo lililoanza tarehe 11- 13 Oktoba, 2024.
TEN/MET YACHANGIA MIL 53.2 KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU SONGWE
-
*Mgeni rasmi Kaimu Katibu Mkuu – Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia
Dkt. Ephreim Simbeye akizungumza wakati akifunga rasmi Maadhimisho ya Juma
la Eli...
41 minutes ago



0 Comments