Watumishi watatu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) wakiongozwa na Afisa Uhifadhi Mkuu (Maendeleo ya Jamii) Paul Mwabusila wameshiriki kutoa elimu kupitia redio ya Kijamii ya Lumen FM Karatu kuhusiana na njia mbalimbali za kukabiliana na Changamoto ya migongano kati ya Wanyamapori na wananchi (Human Wildlife Conflicts).
MAMA NA BABA LISHE: SERIKALI YAJIPANGA UPYA KUBORESHA BIASHARA NA HUDUMA ZA
ULEZI NCHINI
-
Na Janeth Raphael-MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amesisitiza dhamira ya serikali kuendelea kuimarisha mazing...
31 minutes ago



0 Comments