MAAFISA NGORONGORO WATOA ELIMU.K2A JAMII I KUHUSU. MIGOGORO KATI YA WATU NA WANYAMA PORI

Watumishi watatu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) wakiongozwa na Afisa Uhifadhi Mkuu (Maendeleo ya Jamii) Paul Mwabusila wameshiriki kutoa elimu kupitia redio ya Kijamii ya Lumen FM Karatu kuhusiana na njia mbalimbali za kukabiliana na Changamoto ya migongano kati ya Wanyamapori na wananchi (Human Wildlife Conflicts).

Post a Comment

0 Comments