Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Mkoani Mwanza kwa ajili ya kuhitimisha kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru pamoja na Wiki ya Vijana
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 12,Oktoba Shamrashamra za mapokezi ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Jijini Mwanza leo terehe 12,Oktoba 2024.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiangalia kikundi cha ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza ,tarehe 12 ,Oktoba 2024.
WAZIRI MKUU AKAGUA MADHARA YA MOTO SOKO LA SIMU 2000, AAGIZA HATUA ZA
HARAKA KUREJESHA BIASHARA
-
-Asema Serikali itatoa kauli baada ya uchunguzi
-Aagiza vibanda vipya vigawiwe kwa wafanyabiashara halisi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza hat...
11 hours ago





0 Comments