Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Mkoani Mwanza kwa ajili ya kuhitimisha kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru pamoja na Wiki ya Vijana
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 12,Oktoba Shamrashamra za mapokezi ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Jijini Mwanza leo terehe 12,Oktoba 2024.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiangalia kikundi cha ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza ,tarehe 12 ,Oktoba 2024.
Sekta ya Afya Yaachana na Jenereta za Dizeli Kuelekea Uhimilivu wa Nishati
-
NISHATI jadidifu pamoja na miundombinu ya maji inayojitegemea vinaendelea
kubadilisha uendeshaji wa hospitali, vituo vya huduma za malazi na jamii za
vi...
59 minutes ago





0 Comments