Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Mkoani Mwanza kwa ajili ya kuhitimisha kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru pamoja na Wiki ya Vijana
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 12,Oktoba Shamrashamra za mapokezi ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Jijini Mwanza leo terehe 12,Oktoba 2024.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiangalia kikundi cha ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza ,tarehe 12 ,Oktoba 2024.
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO, SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA POLISI
WAKUTANA KUJADILI MIKAKATI YA ULINZI SOKO LA KARIAKOO.
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limefanya kikao maalum na uongozi wa Shirika
la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi ambalo linatoa huduma za ulinzi
katika sok...
2 hours ago





0 Comments