RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI MWANZA

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Mkoani Mwanza kwa ajili ya kuhitimisha kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru pamoja na Wiki ya Vijana
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akisalimiana  na Viongozi  mbalimbali  mara baada ya kuwasili   katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza tarehe 12,Oktoba 
Shamrashamra za mapokezi ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Jijini Mwanza leo terehe 12,Oktoba 2024.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiangalia  kikundi cha ngoma  za asili mara baada ya kuwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza  ,tarehe 12 ,Oktoba  2024.

Post a Comment

0 Comments