Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika Ndugu Daniel Eliufoo akizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha kuhusu Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Kanda hiyo utakaofanyika Jijini Arusha tarehe 1-6 Oktoba, 2024
MAGEUZI YA KIDIJITALI SERIKALINI YAIPAISHA TANZANIA KIMATAIFA
-
Na Mwandishi wetu.
Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank
- WB) kuitaja kuwa miongoni mwa nchi zilizo na ukomavu wa ...
2 hours ago


0 Comments