Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika Ndugu Daniel Eliufoo akizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha kuhusu Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Kanda hiyo utakaofanyika Jijini Arusha tarehe 1-6 Oktoba, 2024
Vijana 50,000 Kunufaika na Mpango wa Serikali wa Uwekezaji ifikapo 2030
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais–Mipango na Uwekezaji, Kitila Mkumbo
akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Pamoja cha
Kuwezesha Manunuzi...
6 minutes ago


0 Comments