Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika Ndugu Daniel Eliufoo akizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha kuhusu Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Kanda hiyo utakaofanyika Jijini Arusha tarehe 1-6 Oktoba, 2024
MAJONZI TANGA :Rais Samia amlilia maestro Stephen Hiza aliyetunga Tanzania
Nchi ya Furaha 1967
-
Na MASHAKA MHANDO, Tanga
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amepokea kwa majonzi makubwa kifo cha nguli wa muziki wa d...
2 hours ago


0 Comments