Waziri wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.Jerry Silaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ukonga Jijini Dar es Salaam amegawa majiko ya gesi ya kupikia mama lishe jimboni kwake ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kumuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha jamii kutumia nishati safi ya kupikia.
Bi Khadija Kawagele mkaazi wa Pugu Kajiungeni amesema katumizi ya nishati safi yatamsaidia kupika chakula kwa wakati na kuepukana na kutumia muda mwingi kutafuta nishati mbadala ambazo hazina mazingira rafiki kwa afya.
WAKAZI WA MAJENGO NA AMANI MBEZI KWA MSUGULI WAILALAMIKIA DAWASA KWA KUKOSA
HUDUMA YA MAJI KWA MUDA MREFU
-
*Wakazi wa Majengo na Amani Mbezi kwa Msuguli wakiwa wamepanga foleni
kuchota maji kwa mmoja ya mwananchi wa mtaa wa pili.*
*Dar es Salaam Januari 6, 2025:...
4 hours ago





0 Comments