Waziri wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.Jerry Silaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ukonga Jijini Dar es Salaam amegawa majiko ya gesi ya kupikia mama lishe jimboni kwake ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kumuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha jamii kutumia nishati safi ya kupikia.
Bi Khadija Kawagele mkaazi wa Pugu Kajiungeni amesema katumizi ya nishati safi yatamsaidia kupika chakula kwa wakati na kuepukana na kutumia muda mwingi kutafuta nishati mbadala ambazo hazina mazingira rafiki kwa afya.
WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI
WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI
-
Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya
Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza
majukumu na wajib...
5 hours ago
0 Comments