RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI KILIMANJARO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Kilimanjaro kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yatakayofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) – Moshi, Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan  akisalimiana na Viongozi mbalimbali  mara baada ya kuwasili  Mkoani Kilimanjaro  leo16 Septemba 2024 ambapo anatazamiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano   Mkuu wa Maafisa  Wakuu Waandamizi  wa Jeshi  la Polisi  na maadhimisho  ya miaka 60 ya Jeshi  la Polisi yatakayofanyika  Shule ya Polisi Tanzania (TPS)-Moshi Kilimanjaro Septemba 17, 2024.

Post a Comment

0 Comments