Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili Mkoani Kilimanjaro leo16 Septemba 2024 ambapo anatazamiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yatakayofanyika Shule ya Polisi Tanzania (TPS)-Moshi Kilimanjaro Septemba 17, 2024.
WAZIRI MKUU AKAGUA MADHARA YA MOTO SOKO LA SIMU 2000, AAGIZA HATUA ZA
HARAKA KUREJESHA BIASHARA
-
-Asema Serikali itatoa kauli baada ya uchunguzi
-Aagiza vibanda vipya vigawiwe kwa wafanyabiashara halisi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza hat...
7 hours ago


0 Comments