Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili Mkoani Kilimanjaro leo16 Septemba 2024 ambapo anatazamiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yatakayofanyika Shule ya Polisi Tanzania (TPS)-Moshi Kilimanjaro Septemba 17, 2024.
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
10 hours ago


0 Comments