Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili Mkoani Kilimanjaro leo16 Septemba 2024 ambapo anatazamiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yatakayofanyika Shule ya Polisi Tanzania (TPS)-Moshi Kilimanjaro Septemba 17, 2024.
Tume ya Maendeleo ya Ushirika TCDC Yapongezwa kwa Utendaji Bora
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) imepongezwa kwa jitihada zake za
kipekee katika usimamizi wa vyama vya ushirika, huku balozi D...
1 hour ago


0 Comments