Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili Mkoani Kilimanjaro leo16 Septemba 2024 ambapo anatazamiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yatakayofanyika Shule ya Polisi Tanzania (TPS)-Moshi Kilimanjaro Septemba 17, 2024.
NBAA YATOA TUZO ZA UMAHILI KATIKA UANDAAJI WA TAARIFA ZA FEDHA YA MWAKA
2024 KWA MAKAMPUNI, TAASISI NA MASHIRIKA
-
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb) akisoma hotuba
ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka
20...
1 hour ago


0 Comments