Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili Mkoani Kilimanjaro leo16 Septemba 2024 ambapo anatazamiwa kuwa kuwa mgeni rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yatakayofanyika Shule ya Polisi Tanzania (TPS)-Moshi Kilimanjaro Septemba 17, 2024.
WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI
WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI
-
Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya
Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza
majukumu na wajib...
5 hours ago
0 Comments