RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MHE. WANG HUNING, BEIJING CHINA

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Kamati ya  ya Kitaifa  ya Baraza  la  Mashirika  ya Kisiasa  la Watu wa China  Mhe.Wang  Huning Beijing  nchini  China 04 Septemba ,2024.
(PICHA ZOTE NA IKULU)
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja  kabla  ya kuanza  mazungumzo na Mwenyekiti  wa Kamati ya Kitaifa  Baraza la Mashauri  ya Kisiasa  wa watu wa China  Mhe.Wang  Huning  Beijing  nchina China 04 Septemba, 2024.

Post a Comment

0 Comments