Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Askari wa vikundi mbalimbali vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambao walishiriki kwenye zoezi la Medani wakati wa shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Pongwe Msungura, Msata Mkoani Pwani tarehe 23 Agosti, 2024.
WADAU WAKUTANA KUZUNGUMZIA MRADI WA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE WA
KIMATAIFA CHA SERENGETI
-
WIZARA ya Uchukuzi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege
Tanzania (TAA) Jumapili April 20, 2026 wamekutana na wadau mbalimbali
kuzungumzia m...
51 minutes ago





0 Comments