Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Askari wa vikundi mbalimbali vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambao walishiriki kwenye zoezi la Medani wakati wa shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Pongwe Msungura, Msata Mkoani Pwani tarehe 23 Agosti, 2024.
TRA PWANI WAFANYA MATENDO YA HURUMA KWA WATOTO YATIMA KUPITIA TUKIO LA IFTAR
-
NA VICTOR MASANGU, PWANI
Mamlaka ya mapato (TRA) Mkoa wa Pwani katika kurudisha fadhila kwa jamii
imeamua kuandaa Iftar maalumu kwa ajili ya kufuturisha ma...
25 minutes ago





0 Comments