Rais wa Chama cha Chakula na Lishe Tanzania (FONATA) Prof. Joyce Kinabo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani leo jijini Dar es Salaam, kuhusu Mkutano wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika ambao unalenga kutoa fursa kwa wanasansi wa masuala ya lishe ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Joyceline Kaganda na Afisa Mawasiliano wa taasisi hiyo Herbert Gowelle (kushoto).
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA JAPAN NCHINI
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Balozi wa Japan nchini
Tanzania Mhe. Yoichi Mikami na kujadiliana naye masuala ya uchumi, miradi
ya maendel...
42 minutes ago
0 Comments