Rais wa Chama cha Chakula na Lishe Tanzania (FONATA) Prof. Joyce Kinabo (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani leo jijini Dar es Salaam, kuhusu Mkutano wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wataalamu wa Masuala ya Chakula na Lishe Afrika ambao unalenga kutoa fursa kwa wanasansi wa masuala ya lishe ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dkt. Joyceline Kaganda na Afisa Mawasiliano wa taasisi hiyo Herbert Gowelle (kushoto).
NEEMA YA KIDIJITALI: Serikali Yashusha Ada kwa Wanablogu, TCRA Yazindua
Redio ya Kisasa 'DSB'
-
SERIKALI imetangaza neema ya kihistoria kwa wanablogu, vijana wabunifu, na
watoa maudhui mtandaoni nchini kwa kupunguza ada za leseni kwa kiwango
kikubwa,...
27 minutes ago
0 Comments