Picha
aliyoipost mtandaoni Staa wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya ikimuonyesha
mtoto wake Krish Ndikumana akiwa ameshika glasi ya pombe imemfanya
msanii huyo ashambuliwe baada ya mashabiki wake kutoa maoni kwamba
hapaswi kufanya hivyo kama mzazi na kioo cha jamii kwani anamfundisha
tabia mbaya mtoto wake huyo.…cio malezi ata kama ameshika au kunjwa kabisa. b a good mother….Huku mwingine akicomment ….Ayaaa atapombeka huyo
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
Together for Africa’s Tourism Future!
-
The countdown to *Africa’s Travel Indaba 2026* is on! Mobila Tours and
Safaris is thrilled to invite our partners, peers, and future collaborators ...
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
-
*Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika pamoja katika siku ya msiba wa
mpendwa wetu Hassan Ng'anzo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori mapema siku ya
Ijumaa M...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments