Warembo watano waliofanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali
ya Redd’s Miss Tanzania 2013 wakiwa katika picha ya pamoja jana. Kutoka
kushoto ni Miss Tanzania Photogenic
2013, Happiness Watimanywa, Miss Tanzania Talent 2013, Prisca Clement, Miss
Tanzania Personality, Severina Lwinga, Miss Tanzania Top Model 2013, Narietha
Boniface na Miss Tanzania Sports Woman, Clara Bayo. (Na Mpigapicha Wetu).
ULIPAJI KODI NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA - DC KISHAPU
-
MKUU wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Peter Masindi, amesema kulipa
kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa kwani kupitia Kodi Serikali
imeen...
25 minutes ago
0 Comments