Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na
Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed
Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis
Ababa, Ethiopia, leo Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa
wageni mashuhuri walioaliokwa kwenye sherehe hizo.(Picha na Ikulu)
Washa Injini za Ushindi Na Meridianbet Kwa Kucheza Super Heli Premium
-
MERIDIANBET Tanzania inafungua ukurasa mpya wa burudani ya kasino mtandaoni
kwa kukuletea Super Heli Premium. Hapa, wewe ndiye rubani wa safari yako.
...
10 minutes ago

0 Comments