Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na
Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed
Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis
Ababa, Ethiopia, leo Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa
wageni mashuhuri walioaliokwa kwenye sherehe hizo.(Picha na Ikulu)
Rais Samia akutana na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika
(AWLN), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN) Rais
Mstaafu ...
8 hours ago

0 Comments