Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na
Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed
Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis
Ababa, Ethiopia, leo Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa
wageni mashuhuri walioaliokwa kwenye sherehe hizo.(Picha na Ikulu)
RC MTWARA: CCM INA JUKUMU LA KUHAMASISHA WAKULIMA KUONGEZA TIJA KUPITIA
MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
-
*Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanal Donald Msengi, amewashauri Viongozi wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwahimiza wakulima kutumia Mfumo wa Stakabadhi
z...
1 hour ago

0 Comments