MREMBO aliyewahi kushiriki katika shindano la Miss Tanzania Feza
Kessy atakuwa miongoni mwa washiriki 28 wa shindano la Big Brother Africa The Chase lililozinduliwa jana usiku Mei 26 jijini Johanesburg nchini Africa Kusini ambapo mshindi ataondoka na kitika cha Dola za kimarekani 300,000. Shindano hilo limedhaminiwa na Kampuni ya simu ya Airtel wshiriki wengine atatoka katika nchi za Uganda, Ethiopia, Kenya, Malawi,Namibia, Ghana, Afrika Kusini, Zambia , Malawi, Zimbabwe na Nigeria.
BILIONI 91 KUSAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI 570 VYA MKOA WA MOROGORO
-
*📌 Wateja wa awali zaidi ya elfu 20 kuunganishwa na huduma ya umeme katika
Vitongoji vya mkoa huo. *
Morogoro📍
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Mal...
12 minutes ago

0 Comments