MREMBO aliyewahi kushiriki katika shindano la Miss Tanzania Feza
Kessy atakuwa miongoni mwa washiriki 28 wa shindano la Big Brother Africa The Chase lililozinduliwa jana usiku Mei 26 jijini Johanesburg nchini Africa Kusini ambapo mshindi ataondoka na kitika cha Dola za kimarekani 300,000. Shindano hilo limedhaminiwa na Kampuni ya simu ya Airtel wshiriki wengine atatoka katika nchi za Uganda, Ethiopia, Kenya, Malawi,Namibia, Ghana, Afrika Kusini, Zambia , Malawi, Zimbabwe na Nigeria.
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
10 hours ago

0 Comments