MREMBO aliyewahi kushiriki katika shindano la Miss Tanzania Feza
Kessy atakuwa miongoni mwa washiriki 28 wa shindano la Big Brother Africa The Chase lililozinduliwa jana usiku Mei 26 jijini Johanesburg nchini Africa Kusini ambapo mshindi ataondoka na kitika cha Dola za kimarekani 300,000. Shindano hilo limedhaminiwa na Kampuni ya simu ya Airtel wshiriki wengine atatoka katika nchi za Uganda, Ethiopia, Kenya, Malawi,Namibia, Ghana, Afrika Kusini, Zambia , Malawi, Zimbabwe na Nigeria.
Rais Samia akutana na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika
(AWLN), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN) Rais
Mstaafu ...
6 hours ago

0 Comments