katika majengo nchini wakati wa mkutano wa bodi ya Usajili wa Makandarasi ( Contractors Registration Board (CRB) ambapo pia bodi hiyo ilikuwa ikiadhimisha miaka kumi na tano tangu kuanzishwa kwake. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na makandarasi takribani 800 kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini, Dkt. Kazaura aliwaeleza nia ya TTCL kusambaza mawasiliano ya kazi katika majengo mbalimbali hapa nchini na kuomba ushirikiano wa hali ya juu kutoka kwa makandarasi kujenga majengo ambayo yatakuwa yamewezeshwa tayari kuunganishwa na huduma za mawasiliano ya kasi ” Broadband Ready Buildings”.
MANARA ATOA MAOMBI MAALUM AJENDA YA KUSAFISHA JIJI LA DAR KUELEKEA MICHUANO
YA AFCON
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
DIWANI wa Kata Kariakoo Haji Manara ametoa ombi malaamu kwa Baraza la
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na Mkuruge...
23 minutes ago
0 Comments