WANACHAMA SIMBA WAMG'OA RAGE








Mwenyekiti wa Mkutano wa dharura wa klabu ya Simba, Mohamed Wande akifafanua jambo wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Starlight jijini Dar es Salaam jana na kumg’oa madarakani aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutanohuo, Bi. Chuma Suleiman ‘Hindu’ na Katibu wa Mkutano huo, Mohamrd said. (Picha na Habari Mseto Blog)
Mzee wa Simba, Ally Mselemu akizungumza wakati wa mkutano huo.

Post a Comment

0 Comments