Meneja wa Kutengeneza Ofa za Intaneti za Kampuni ya Tigo, David Sekwao (kushoto) akibofya kwenye kompyuta kupata mmoja wa washindi 42 wa droo ya pili ya Smartcard, Dar es Salaam. Anayeshuhudia kulia ni Mkaguzi Mwandamizi wa Bodi ya Taifa ya Kusimamia Michezo ya Kubahatisha nchini, Abdallah Hemed. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
WATANZANIA WANUFAIKA NA MIRADI YA KIMKAKATI NA UWEKEZAJI
-
Na Mwandishi wetu
MIONGONI mwa jitihada zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya sita chini ya
Rais wa Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan...
9 hours ago
0 Comments