KHADIJA S. KALILI PICHANI AMBAYE NI MUENDESHAJI WA BLOGU HII LEO NI SIKU YA KUMBUKUMBU YANGU MUHIMU KATIKA MAISHA YA KUZALIWA KWANGU MIAKA KADHAA ILIYOPITA NAMSHUKURU ALLAH NA WAZAZI WANGU WOTE YAANI MAMA NA BABA KWA KUNIZAA, KUNILEA IKIWA NI PAMOJA NA KUMWOMBEA DUA MAMANGU MZAZI MUNGU AIPUMZISHE ROHO YAKE KWA R.IP MAYO, PIA NAMSHUKURU MUNGU KWA MEMA YOTE ANAYONITENDEA KILA UCHAO.AMIN.
HAYA HAPA MAAJABU YA ENDORO WATER FALLS NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ya ...
25 minutes ago
0 Comments