Debora Nyange na Maangaza waimbaji wa kike katika bendi hiyo.
Bonny Kaprobo 'Sololist'
Queen Vero akinengua kwa madaha, bendi hii kila siku ya Jumatano hutoa burudani ya muziki wa Kiafrika katika Usiku wa Mwafika unaorindima kila ifikapo siku hiyo katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.
Absa Yatambuliwa kama Mwajiri Bora kwa Mwaka 2026 katika Masoko Sita ya
Afrika
-
*Absa Ghana yashika nafasi ya kwanza kama Mwajiri Bora katika soko lake
Kwa mwaka wa tano mfululizo, Absa imetambuliwa kama Mwajiri Bora (Top
Employer) kwa...
51 minutes ago
0 Comments