Katikati ni Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa SBL , Teddy Mapunda akizungumza katika hafla ya kukabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi mil .10,925,000/= kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) (kulia) Absalom Kibanda na Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT),Kajubi Mukajanga.
Skuli binafsi zina mchango mkubwa kwenye maendeleo ya sekta ya Elimu
Zanzibar
-
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Muhamed Mussa,
ameahidi kushirikiana kikamilifu na kufanyia kazi changamoto zinazowakabili
wada...
5 hours ago
0 Comments