Social Icons

Wednesday, February 29, 2012

RAIS NA MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA SKONGA APATA JIKO

Mtangazaji wa East Africa TV Bw. Allan Lucky Komba ambaye pia ni Rais wa wanafunzi a.k.a SKONGA akimvisha pente ya ndoa mkewe Haika Samwli katika hafla ya  ndoa yao iliyofungwa mwishoni mwa wiki hii katika ukumbi wa The Stalion jijini Dar es Salaam

No comments:

 
 
Blogger Templates