KAMPUNI ya TDL inayotengeneza kinywaji cha Konyagi imetangaza kutoa udhamini kwa bendi ya Sikinde Ngoma ya Ukae kwa kuwapatia vyombo pamoja na sare sambamba na marupurupu kibao kwa wanamuziki wa bendi hiyo kila watakapokuwa wakipiga shoo.
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo akutana na Ujumbe kutoka
Kampuni ya Condor ya Brazil
-
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Riziki Pembe Juma
amekutana na Ujumbe kutoka Kampuni ya Condor ya Brazil wakati walipofika
Of...
9 hours ago
0 Comments