KAMPUNI ya TDL inayotengeneza kinywaji cha Konyagi imetangaza kutoa udhamini kwa bendi ya Sikinde Ngoma ya Ukae kwa kuwapatia vyombo pamoja na sare sambamba na marupurupu kibao kwa wanamuziki wa bendi hiyo kila watakapokuwa wakipiga shoo.
MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA DAR ES SALAAM, NDUGU KHADIJA SAID,
AONGOZA KWA MAFANIKIO MAADHIMISHO YA KILELE CHA WIKI YA JUMUIYA YA WAZAZI
MKOA
-
Leo, Jumamosi ya tarehe 09 Mei 2026, Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es
Salaam imefanikiwa kufanya Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Jumuiya ya
Wazazi Mkoa...
9 minutes ago
0 Comments