KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), leo imekabidhi vitabu 20,000 vya wiki ya nenda kwa usalama barabarani vilivyochapishwa kwa gharama ya shilingi milioni 36.Vitabu hivyo vitagawiwa watumiaji wa barabara bure nchi nzima ili waweze kuvitumia kama njia mojawapo ya kurejea na kujikumbushia kuhusu utumiaji na usalama barabarani.Wiki ya Usalama barabarani iliadhamishwa kati ya Oktoba 3 hadi 8 mwaka huu.
MZUMBE, WIZARA YA FEDHA NA BENKI YA DUNIA KUIMARISHA UNUNUZI WA MIRADI YA
MAENDELEO
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kimefungua rasmi mafunzo
ya kujenga uwezo kwa taasisi mbalimbali za ser...
11 minutes ago
0 Comments