KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), leo imekabidhi vitabu 20,000 vya wiki ya nenda kwa usalama barabarani vilivyochapishwa kwa gharama ya shilingi milioni 36.Vitabu hivyo vitagawiwa watumiaji wa barabara bure nchi nzima ili waweze kuvitumia kama njia mojawapo ya kurejea na kujikumbushia kuhusu utumiaji na usalama barabarani.Wiki ya Usalama barabarani iliadhamishwa kati ya Oktoba 3 hadi 8 mwaka huu.
MJUMBE WA JUMUIA YA MADOLA RAIS MSTAAFU CHAKWERA AKUTANA NA INEC
-
*Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Tume,
Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Aprili 14, 2026 amekutana na
kuzungu...
29 minutes ago
0 Comments