KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), leo imekabidhi vitabu 20,000 vya wiki ya nenda kwa usalama barabarani vilivyochapishwa kwa gharama ya shilingi milioni 36.Vitabu hivyo vitagawiwa watumiaji wa barabara bure nchi nzima ili waweze kuvitumia kama njia mojawapo ya kurejea na kujikumbushia kuhusu utumiaji na usalama barabarani.Wiki ya Usalama barabarani iliadhamishwa kati ya Oktoba 3 hadi 8 mwaka huu.
YAS NA BILAL MUSLIM MISSION WATOA HUDUMA ZA MACHO KWA MAELFU IRAMBA
-
Kampuni ya Mawasiliano Yas kwa kushirikiana na Taasisi ya Bilal Muslim
Mission of Tanzania, imefanya kambi maalum ya huduma za matibabu ya macho
iliyowahud...
2 hours ago
0 Comments