LAGOS, NIGERIA
MWIGIZAJI wa filamu wa mjini hapa Funke Akindele maarufu kama Jenifa, amesema kuwa anatarajia kuolewa hivi karibuni.Jenifa aliyaweka hayo wazi baada ya kuuliza kwa nini hajaolewa mpaka sasa wakati umri unasogea.Alisema kuwa anayemchumba ambaye wamepanga kufunga naye ndoa na amekuwa akimsumbua kwa muda akimtaka aolewe.Alisema kuwa hivi karibuni atafunga ndoa na amekuwa hataki kuolewa mapema kwa sababu alikuwa akitafuta mwanaume anayemfaa.“Ninachokitafuta hapa ni furaha na si ndoa peke yake, kwani ndoa nyingi zimekuwa zikifungwa na ghafla zinavunjika,” alisema.
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
10 hours ago
0 Comments