LAGOS, NIGERIA
MWIGIZAJI wa filamu wa mjini hapa Funke Akindele maarufu kama Jenifa, amesema kuwa anatarajia kuolewa hivi karibuni.Jenifa aliyaweka hayo wazi baada ya kuuliza kwa nini hajaolewa mpaka sasa wakati umri unasogea.Alisema kuwa anayemchumba ambaye wamepanga kufunga naye ndoa na amekuwa akimsumbua kwa muda akimtaka aolewe.Alisema kuwa hivi karibuni atafunga ndoa na amekuwa hataki kuolewa mapema kwa sababu alikuwa akitafuta mwanaume anayemfaa.“Ninachokitafuta hapa ni furaha na si ndoa peke yake, kwani ndoa nyingi zimekuwa zikifungwa na ghafla zinavunjika,” alisema.
Orbit Microfinance Limited yAkabidhi vifaa mbalimbali vya elimu kwa
wanafunzi wa Skuli ya Msingi na Maandalizi Kwarara
-
Kampuni ya Orbit Microfinance Limited imekabidhi vifaa mbalimbali vya elimu
kwa wanafunzi wa Skuli ya Msingi na Maandalizi Kwarara, hatua inayolenga
kui...
51 minutes ago
0 Comments