Meneja Huduma za Jamii Airtel Tunu Kavishe akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani akizungumza kuhusu mpango wake wa kutoa msaada wa vitabu kwa shule za mzingi ikiwemo SUA na nyingine tano zote za mkoani Morogoro kesho.Aliyekaa kushoto ni Ofisa Habari wa Airtel Jackson Mbando.
Ofisa Habari wa Kampuni ya simu Airtel Jackson Mbando akizungumza juu ya mpango wa Airtel Rising Star utakaowakutanisha vijana 6 kutoka katika mikoa 4 nchini.Mbando alisema ratiba ya mpango mzima itatolewa mara baada ya Mfugo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani kumalizika.
KITETO WAAHIDIWA KUPATIWA MWENYEKITI WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA
-
Na Munir Shemweta, KITETO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo
ameahidi kupelewa kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na...
11 hours ago
0 Comments