Meneja Huduma za Jamii Airtel Tunu Kavishe akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani akizungumza kuhusu mpango wake wa kutoa msaada wa vitabu kwa shule za mzingi ikiwemo SUA na nyingine tano zote za mkoani Morogoro kesho.Aliyekaa kushoto ni Ofisa Habari wa Airtel Jackson Mbando.
Ofisa Habari wa Kampuni ya simu Airtel Jackson Mbando akizungumza juu ya mpango wa Airtel Rising Star utakaowakutanisha vijana 6 kutoka katika mikoa 4 nchini.Mbando alisema ratiba ya mpango mzima itatolewa mara baada ya Mfugo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani kumalizika.
WIZARA YA FEDHA YAIPONGEZA TADB KWA UFANISI WA KIUTENDAJI
-
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi
Khamis Mussa Omar (Mb.), ameielekeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania
(TAD...
2 hours ago
0 Comments