LAGOS, NIGERIA
TAARIFA zimezagaa zikimuhusisha mwigizaji wa kike wa filamu wa Nollywood, Mercy Johnson kuwa na ujauzito.Zimeendelea kusema kuwa hali hiyo ndiyo iliyomsababisha kutangaza ndoa yake na Prince Odianosen Okojie.Baadhi ya watu wa karibu na mwanadada huyo wamesema kuwa hata kwa upande wa mumewe ana watoto wawili ambao alizaa na mwanamke mwingine.Mwigizaji huyo anayetarajiwa kufunga ndoa na kufanya sherehe siku nne za Agosti 25, 26, 27 na 28 harusi inayotarajiwa kutumia kiasi cha neila milioni 30.
TRAMEPRO Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani, Yasisitiza Uhifadhi kwa
Maendeleo Endelevu
-
*Kila mwaka tarehe 22 Machi, dunia huungana kuadhimisha Siku ya Maji
Duniani—siku muhimu inayotukumbusha thamani ya rasilimali maji katika
maisha ya kila s...
8 hours ago

0 Comments