LAGOS, NIGERIA
TAARIFA zimezagaa zikimuhusisha mwigizaji wa kike wa filamu wa Nollywood, Mercy Johnson kuwa na ujauzito.Zimeendelea kusema kuwa hali hiyo ndiyo iliyomsababisha kutangaza ndoa yake na Prince Odianosen Okojie.Baadhi ya watu wa karibu na mwanadada huyo wamesema kuwa hata kwa upande wa mumewe ana watoto wawili ambao alizaa na mwanamke mwingine.Mwigizaji huyo anayetarajiwa kufunga ndoa na kufanya sherehe siku nne za Agosti 25, 26, 27 na 28 harusi inayotarajiwa kutumia kiasi cha neila milioni 30.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMJULIA HALI MZEE YUSUPH MAKAMBA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Katibu Mkuu Mstaafu wa
Chama Cha Ma...
10 hours ago

0 Comments