LAGOS, NIGERIA
TAARIFA zimezagaa zikimuhusisha mwigizaji wa kike wa filamu wa Nollywood, Mercy Johnson kuwa na ujauzito.Zimeendelea kusema kuwa hali hiyo ndiyo iliyomsababisha kutangaza ndoa yake na Prince Odianosen Okojie.Baadhi ya watu wa karibu na mwanadada huyo wamesema kuwa hata kwa upande wa mumewe ana watoto wawili ambao alizaa na mwanamke mwingine.Mwigizaji huyo anayetarajiwa kufunga ndoa na kufanya sherehe siku nne za Agosti 25, 26, 27 na 28 harusi inayotarajiwa kutumia kiasi cha neila milioni 30.
Serengeti Apple Yawasafirisha Mastaa Zaidi ya 30 Kwa Ndege Binafsi kwa
Uzinduzi wa Siku Tatu Hifadhi ya Serengeti
-
Serengeti. Serengeti Premium Apple imeandika historia kwa kuwasilisha
uzinduzi wa kipekee ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikiweka alama
kama kinywa...
40 minutes ago

0 Comments