LAGOS, NIGERIA
TAARIFA zimezagaa zikimuhusisha mwigizaji wa kike wa filamu wa Nollywood, Mercy Johnson kuwa na ujauzito.Zimeendelea kusema kuwa hali hiyo ndiyo iliyomsababisha kutangaza ndoa yake na Prince Odianosen Okojie.Baadhi ya watu wa karibu na mwanadada huyo wamesema kuwa hata kwa upande wa mumewe ana watoto wawili ambao alizaa na mwanamke mwingine.Mwigizaji huyo anayetarajiwa kufunga ndoa na kufanya sherehe siku nne za Agosti 25, 26, 27 na 28 harusi inayotarajiwa kutumia kiasi cha neila milioni 30.
SHULE ZOTE ZA SERIKALI KUFIKIWA NA VITABU KABLA HAZIJAFUNGULIWA
-
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba
amesema, TET imejipanga kuhakikisha shule zote za Serikali zinafikiwa na
vitabu kabla h...
2 hours ago

0 Comments