LAGOS, NIGERIA
TAARIFA zimezagaa zikimuhusisha mwigizaji wa kike wa filamu wa Nollywood, Mercy Johnson kuwa na ujauzito.Zimeendelea kusema kuwa hali hiyo ndiyo iliyomsababisha kutangaza ndoa yake na Prince Odianosen Okojie.Baadhi ya watu wa karibu na mwanadada huyo wamesema kuwa hata kwa upande wa mumewe ana watoto wawili ambao alizaa na mwanamke mwingine.Mwigizaji huyo anayetarajiwa kufunga ndoa na kufanya sherehe siku nne za Agosti 25, 26, 27 na 28 harusi inayotarajiwa kutumia kiasi cha neila milioni 30.
SHINDANO LA CRDB COASTAL ZONE KUTIMU KIVUMBI KESHO LUGALO GOFU
-
ZAIDI Ya Wachezaji 120 wanatarajiwa kushiriki shindano la siku moja la CRDB
Coastal Zone Inter Club lenye lengo la kujenga ushirikiano mwa klabu za
gofu za...
8 hours ago
0 Comments