Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege ya Turkish Airlines. Mr.Mustafa Ozkahraman akiongea kwenye hafla hiyo.
Baadhi ya wageni waaalikwa kwenye Futari iliyoandaliwa na Turkish airlines juzi katika hoteli ya kilimanjaro jijini Dar Es salaam.
Wa pili Kulia, Mkurugenzi Mtendaji wa Turkish arilines Tanzania, akiongoza wageni waalikwa na wafanyakazi wa ndege hiyo kufuturu.
Rais Samia akutana na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika
(AWLN), Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mlezi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN) Rais
Mstaafu ...
9 hours ago


0 Comments