Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege ya Turkish Airlines. Mr.Mustafa Ozkahraman akiongea kwenye hafla hiyo.
Baadhi ya wageni waaalikwa kwenye Futari iliyoandaliwa na Turkish airlines juzi katika hoteli ya kilimanjaro jijini Dar Es salaam.
Wa pili Kulia, Mkurugenzi Mtendaji wa Turkish arilines Tanzania, akiongoza wageni waalikwa na wafanyakazi wa ndege hiyo kufuturu.
Msajili wa Hazina aomba ushirikiano wa PIC kuimarisha mageuzi ya uwekezaji
wa umma
-
Na Mwandishi wa OMH
Dodoma. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) leo, Januari 15, 2026 imeendesha
semina maalumu kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa ...
58 minutes ago


0 Comments