Hapa ni baada ya kupata futari ya ulweeh iliyoandaliwa na Kampuni ya One Plis Communication yenye Ofisi zake Mikocheni Dar es Salaam ndipo tukajibweda na mapichaaazz.Kutoka kulia ni Khadija Kalili, Sakina Lyoka, Fatma Hassan (DJ Fetty) na Shadee wote kutoka Kampuni ya Clouds Media Group.Ramadhan Kareem.
Mashaallah mashungi yamekubalii watoto muendelee vivyo hivyoo eennhh.
Pozi zilizidi aah mambo ya futari hayooo.
Shoto ni Shadee, Sakina na Khadija.
Sakina na Khadija.
Kutoka kulia ni Khadija, Asha Said Kigundula mwandishi wa gazeti la Jambo Leo na Naibu Mhariri wa Michezo wa gazeti la Serikali la Habari leo Zena Chande.
MANARA ATOA MAOMBI MAALUM AJENDA YA KUSAFISHA JIJI LA DAR KUELEKEA MICHUANO
YA AFCON
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
DIWANI wa Kata Kariakoo Haji Manara ametoa ombi malaamu kwa Baraza la
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na Mkuruge...
2 hours ago
0 Comments