Hapa ni baada ya kupata futari ya ulweeh iliyoandaliwa na Kampuni ya One Plis Communication yenye Ofisi zake Mikocheni Dar es Salaam ndipo tukajibweda na mapichaaazz.Kutoka kulia ni Khadija Kalili, Sakina Lyoka, Fatma Hassan (DJ Fetty) na Shadee wote kutoka Kampuni ya Clouds Media Group.Ramadhan Kareem.
Mashaallah mashungi yamekubalii watoto muendelee vivyo hivyoo eennhh.
Pozi zilizidi aah mambo ya futari hayooo.
Shoto ni Shadee, Sakina na Khadija.
Sakina na Khadija.
Kutoka kulia ni Khadija, Asha Said Kigundula mwandishi wa gazeti la Jambo Leo na Naibu Mhariri wa Michezo wa gazeti la Serikali la Habari leo Zena Chande.
Mwalongo Awataka Wadau Kushirikiana Kuenzi na Kuendeleza Urithi wa Mashujaa
-
RUVUMA | Februari 28, 2026
Katibu Mkuu wa TRAMEPRO Atoa Wito wa Kugeuza Historia ya Vita vya Maji Maji
kuwa Fursa za Maendeleo
Katibu Mkuu wa Shirika la...
59 minutes ago
0 Comments