Hapa ni baada ya kupata futari ya ulweeh iliyoandaliwa na Kampuni ya One Plis Communication yenye Ofisi zake Mikocheni Dar es Salaam ndipo tukajibweda na mapichaaazz.Kutoka kulia ni Khadija Kalili, Sakina Lyoka, Fatma Hassan (DJ Fetty) na Shadee wote kutoka Kampuni ya Clouds Media Group.Ramadhan Kareem.
Mashaallah mashungi yamekubalii watoto muendelee vivyo hivyoo eennhh.
Pozi zilizidi aah mambo ya futari hayooo.
Shoto ni Shadee, Sakina na Khadija.
Sakina na Khadija.
Kutoka kulia ni Khadija, Asha Said Kigundula mwandishi wa gazeti la Jambo Leo na Naibu Mhariri wa Michezo wa gazeti la Serikali la Habari leo Zena Chande.
CATC yafungua Mafunzo ya Usimamizi wa Vihatarishi Anga kwa Niaba ya ICAO
Jijini Dar es Salaam
-
Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) kwa niaba ya Shirika la Kimataifa la
Usafiri wa Anga (ICAO) kimezindua rasmi mafunzo ya Vihatarishi katika
Usafiri wa Ang...
1 hour ago
0 Comments