Social Icons

Wednesday, August 10, 2011

SERIKALI YAHIMIZWA KUTETEA HAKI ZA WATOTO

Watotot wa Shule  mbalimbali za msingi  wakiandamana  katika sherehe  za uzinduzi  wa ripoti  ya Utafiti  na  mpango wa Kimataifa  wa kushughulikia  "Ukatili kwa Watoto na Mpango wa Udhibiti wa Taifa.
 Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bi. Asha Rose Migiro akizungumzia umuhimu wa Taifa kusimamia haki ya mtoto ya kuishi kwa amani na furaha bila kufanyiwa Ukatilii wa aina yoyote katika Kilele cha uzinduzi wa ripoti ya Utafiti na Mpango wa Kitaifa wa kushughulikia "Ukatili kwa Watoto" na mpango wa Udhibiti wa Taifa.
 Pichani Juu na Chini Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Taifa Dkt. Asha Rose Migiro na Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh. Sophia Simba wakizindua rasmi Ripoti ya Utafiti na Mpango wa Kitaifa wa Kushughulikia "Ukatili kwa Watoto "  na Mpango wa Udhibiti wa Taifa.

 Pichani Juu na Chini Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Taifa Dkt. Asha Rose Migiro na Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh. Sophia Simba wakizindua rasmi Ripoti ya Utafiti wa Mpango wa Kimataifa wa Kushughulikia Ukatili  kwa Watoto  na Mpango wa Udhibiti na Mpango wa Taifa .

 Pichani Juu na Chini Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Taifa Dkt. Asha Rose Migiro na Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Mh. Sophia Simba wakizindua rasmi Ripoti ya utafiti  na Mpango  wa Kitaifa  wa kushughulikia "Ukatili kwa Watoto "  na Mpango wa Udhibiti wa Taifa.

Mabalozi wawakilishi wa nchi mbalimbali nchini wakifuatilia uzinduzi wa ripoti hiyo.

No comments:

 
 
Blogger Templates