Mchezo huo unatarajia kuchezwa jumamosi hii ya Juni 18 , katika mji wa Kinshasa nai Simba inaendelea na maandalizi ya mechi hiyo baada ya kuifunga Motema Pembe bao 1-0 jumapili iliyopita katika dimba la Taifa, jijini Dar es Salaam.
JWTZ , POLISI WAPONGEZWA KWA KUIMARISHA ULINZI KIBAHA 9 DESEMBA
-
Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Polisi Wilayani Mkoani Pwani
wamepongezwa kutokana na kuimarisha ulinzi siku ya kumbukumbu ya sherehe za
U...
9 hours ago
0 Comments