Mchezo huo unatarajia kuchezwa jumamosi hii ya Juni 18 , katika mji wa Kinshasa nai Simba inaendelea na maandalizi ya mechi hiyo baada ya kuifunga Motema Pembe bao 1-0 jumapili iliyopita katika dimba la Taifa, jijini Dar es Salaam.
TANZANIA KUENDELEA KUTUMIA AKILI UNDE KUKABILIANA NA MAAFA
-
Na Mwandishi Wetu, Masvingo - Zimbabwe.
TANZANIA imesema itaendelea kutumia teknolojia ya Akili Unde (AI) katika
kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa ...
2 hours ago
0 Comments