Waziri Mkuu wa India Mhe. Dkt. Manmohan Singh (katikati) akisalimiana na Mbunge wa Singida Mjini Mhe. Mohammed Dewji katika hafla fupi ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Balozi wa India nchini katika Hoteli ya Kempinski jijini Dar hivi karibuni.Wa kwanza kushoto ni Mke wa waziri Mkuu wa India Mama Gursharan Kaur.
KENYA YATOA HATI ZA VYUO VIKUU KWA KAIST NA KEMRI
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Serikali ya Kenya imetoa hati rasmi za vyuo vikuu kwa Kenya Advanced
Institute of Science and Technology na Kenya Medical Research I...
5 hours ago
0 Comments