Mkurugenzi wa Matawi na Utawala wa Shirika la Nyumba la Taifa Bw. Raymond Mndolwa akitangaza uamuzi wa shirika hilo kutoa muda wa hadi tarehe 28 mwezi huu kwa wadaiwa wa shirika hilo kulipa madeni yao, kinyume na hapo shirika hilo litachukua hatua ya kutoa vitu vyao vya ndani na kuvipiga mnada. Kushoto ni Mkuu wa Elimu kwa Umma na Huduma kwa Jamii Bi. Susan Omari.
MWENGE WAHAMASISHA NISHATI SAFI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA, ,WAGAWA MITUNGI
40 RUFIJI
-
Mwamvua Mwinyi, Rufiji Aprili 26, 2026
Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya
nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, ma...
32 minutes ago
0 Comments