Jamani wadau huyu mtoto anaitwa Sandra ameanza kusoma chekechea katika shule ya Junior Day Care Centre ya Yombo Dar es Salaam.Leo asubuhi aligoma kwenda shule hivyo baba yake akalazimika kumbembeleza kwa njia ya simu huku akumuahidi kumletea ubao,school bag mpya, chanzo cha kugoma ni kung'ang'ania pete za mamake Uwiii jamani watoto wa siku hizi hao.Lakini baadaye alikubali kwenda mara baada ya kuridhika na ahadi alizopewa.
WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
-
Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na
chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na ...
WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.
-
Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na
chama Cha mapinduzi ( CCM)
Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani ...
Cara Terbaik Untuk Menang Judi Sicbo Online
-
Bergabung dalam permainan judi sicbo online yang dapat dimainkan melalui
smartphone, maka tentu saja para pemain bisa melakukan sejumlah taruhan
dengan nya...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
4 Comments
oddo iddi