
Mkurugenzi wa The African Stars Entertainment (ASET), Asha Baraka akitioa wasifu wa Marehemu mwishoni mwa wiki katika kisomo cha marehemu Abuu Semhando kilichosomwa katika ofisi za ASET na kuandaliwa na wanamuziki pamoja na wadau wa bendi hiyo.

Mdau wa Twanga Ben Kinyaia akinawa mikono tayari kwa kupata sadaka ya chakula.

Wasanii wakongwe katika tasnia ya Filamu nchini Ray Kulia na Kanumba kushoto .

Msanii mkongwe nchini Kassim Maili akibadilishana na mawazo na Mwandishi wa Habari wa gazeti la majira Mwali Ibrahim.
0 Comments